Pages

Tuesday, January 1, 2013

MAMBO 7 YATAKAYO KUSAIDIA KUTIMIZA NDOTO YAKO




  1. Katika ndoto ulizo nazo, chagua NDOTO moja uanze nayo(ukimbie nayo)
  2. Amini NDOTO yako, uliyonayo siku moja itakuwa kwenye uhalisia
  3. Omba msaada kwa waliokutangulia, mfano NDOTO yako ni kuandika vitabu kuna watu walishaandika vitabu kabla yako,
  4. Kuna nyakati unabidi ubadili mfumo wa maisha yako, ili kuweza kufikia NDOTO yako.
  5. Weka kikomo cha kufanya NDOTO yako, mfano, unataka kuandika kitabu unaweka kuwa utaandika kwa mda gani, labda utaandika kwa miezi 18.
  6. Waambie watu wengine kuhusiana na NDOTO yako uliyonayo, kwasababu unapo tamka neno, kunanguvu, kumbuka hilo, 
  7.  Karika kila Safari kuna vikwazo, usiogope kwa vikwazo vitakavyotokea, na chuga visiwe chanzo cha kutaka kuua NDOTO YAKO

1 comment: